Peter wa P Square kamzungumzia Diamond Platnumz na wanachotakiwa kukifanya Watanzania.

Peter ambaye ni mwimbaji kutoka kundi la P Square aliongea na ripota wako Millard Ayo kuhusu Diamond Platnumz na kitu Watanzania wanatakiwa kufanya lakini pia amezungumzia kolabo yao, hii video hapa chini ina kila kitu alichokisema.
KWA VIDEO NA MAELEZO ZAIDI SOGEA KWA MY BROTHER
www.millarldayo.com