NEW TRACK: KONTAGOUS - Kama Laana


AJE AJE WAKUBWA NA WADOGO WENZA ....!!!!!!!!!!

SHUKRANI...kwa wote ambao mme weza kuitembelea blog hii ya darls babie ...na sina kubwa lakuw lipa
kuwaombea kwa mungu muendelee kuwa na moyo kama huo na sio kwangu tuu hadi sehemu mbali mbali mie naamini katika maisha watu utoka kwa njia nyingi tuu nausitegeemee sehemu moja jipange muombe mungu wakoo ata weza kuku saidia kufikia malengo yako unayo yaitaji sina mengi ya kusema wadau wangu zaidi tu ya kuwatakia maisha mema yenye furaha naamani ......natusi msahau mungu wetu tutambue kuwa duniani tuna pita sio maisha ya milele so yatu pasa tujipange vyema tana kwakiukamilifu ili tuweze kupambana na shida na raha pia zijazoo mbele yetushukrani by darls babie,,, NIKI ONGOZWA NA ASURAS TECHNOLOGIES

SIMBA KUKIPIGA NA TIMU YA OLIECH JUMAMOSI

Simba SC
KATIKA kujiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii, mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC, Jumamosi watacheza mechi ya kujipima nguvu na Mathare United ya Kenya kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Habari za ndani kutoka Simba, ambazo  zimepatikana, zimesema kwamba tayari makubaliano yamefikiwa na timu timu hiyo ya Daraja la Kwanza Kenya, ambayo ilimuibua kisoka mshambuliaji wa AJ Auxerre ya Ufaransa, Dennis Oliech.
Simba itamenyana na Azam katika mechi ya Ngao ya Jamii ya kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Septemba 8, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Habari za ndani kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zimesema kwamba, kuchelewa kwa mechi hiyo ambako kumeenda sambamba na kuchelewa kuanza kwa ligi hiyo, kumetokana na kuchelewa kufikiwa mwafaka mapema wa mkataba mpya wa udhamini wa Ligi Kuu.
Mkataba wa awali wa Vodacom na TFF unafikia tamati mwishoni mwa mwezi huu na kusainiwa mkataba mwingine, baada ya majadiliano yanayoendelea.
Lakini kwa kuwa Mkutano Mkuu wa TFF uliopita uliridhia kuanzia msimu ujao Ligi Kuu iendeshwe na kampuni itakayoundwa na klabu za Ligi Kuu mjadala kuhusu udhamini mpya wa ligi umekuwa mrefu kutokana na kuhusisha pande tatu, klabu, wadhamini na shirikisho.
Lakini sasa, kwa vyovyote, hata maridhiano ya mkataba mpya wa udhamini na Vodacom yachelewe tena, mechi hiyo itachezwa Septemba 8, ikiwa ni wiki moja kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu.
Kihistoria hiyo itakuwa mechi ya tano ya Ngao ya Jamii kuchezwa nchini na ya pili kuishirikisha timu nje ya wapinzani wa jadi wa soka ya Tanzania, Simba na Yanga.
Mtibwa ilicheza na Yanga mwaka 2009, baada ya Simba kugoma na ikashinda mabao 2-1 na kutwaa Ngao, wakati kabla ya hapo, mwaka 2001, Ligi Kuu ya Tanzania ikiwa bado inadhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Safari Lager, ilichezwa mechi ya kwanza ya Ngao kihistoria.
Katika mechi hiyo, Yanga ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Simba na mwaka juzi Yanga iliifunga tena Simba kwa penali 3-1 kufuatia sare ya 0-0 na mwaka jana, Simba ilitwaa Ngao ya kwanza katika historia yake, kwa kuifunga Yanga mabao 2-0. 

MISS ILALA NI TAR 7 SEPTEMBER 2012




                                                      warimbwende hao wa pande za ilala
                      tarehe 30 august 2012 siku ya alhamisi , kutakuwa na mashindano ya vipaji kabla ku mpata
                      malkia ambae nata vikwa taji la mlimbwendae wa ilala

         maelezo zaidi tuta yapata kadri siku zinozo endelea kabla ya kupata malkia ambae ata vikwa taji hilo la ilala wote mna karibishwa siku hyo...!!!

HIVI NDIVYO WASHINDI WA BIBI BOMBA WALIVYOKUA WAKIJINYAKULIA ZAWADI ZAO



SHINDANO la <Bibi Bomba> lilikuwa likiratibiwa na kituo cha Clouds TV, usiku wa kuamkia leo limefikia tamati na Veronica Mpangala akiibuka mshindi wa kitita cha 5,000, 000/= (milioni tano) nafasi ya pili ilichukuliwa na Anna Saidi ambaye alijipatia kiasi cha shilingi milioni tatu, na mshindi namba tatu alikuwa ni Nasra Mohamed ambaye alijipatia kiasi cha shilingi milioni moja na nusu.