Boti ilikua inakwenda polepole ghafla Nyangumi akajitokeza toka chini ya maji na kurukia hiyo boti, waliojeruhiwa ambao baadae kidogo waliokolewa na kikosi cha uokoaji ni mzee wa miaka 41 na abiria wengine wenye umri wa miaka 25 na mwingine 35.
NYANGUMI AFNYA UHARIBIFU WA BOTI NA PIA KUJERUHI WATU
Boti ilikua inakwenda polepole ghafla Nyangumi akajitokeza toka chini ya maji na kurukia hiyo boti, waliojeruhiwa ambao baadae kidogo waliokolewa na kikosi cha uokoaji ni mzee wa miaka 41 na abiria wengine wenye umri wa miaka 25 na mwingine 35.
SHEHE SORANGA AJERUHIWA KWA KUMWAGIWA TINDIKALI.. ZANZIBAR
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba
cha Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa
Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika
Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye
Gari ya Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili
Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana
wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Subscribe to:
Posts (Atom)