NIMEJITOA MTANASHATI KWASABABU BOSS ANAPENDA SIFA : SUMA MNAZARETI
Ikiwa ni mda mfupi sana tangu alipoingia katika kampuni yenye wasanii kama Dogo janja, Amazon PNC na wengineo inayojulikana kama watanashati, Suma Mnazareti ameaschana na chama hilo linaloongozwa na ashati Ostaz Juma Namusoma.
"Nimeamua kujitoa mtanashati, na sababu kubwa katika zote ya kujitoa ni kwamba nilifata kazi kwa Ostaz na sio hela zake, so nilichokuwa nadhania ntakipata mtanashati hakipo,Boss anatafta zaidi sifa na ustaa Tanzania na mimi mziki ni kazi yangu..anaweza akagawa mamilioni kwa watu ili atajwe lakini anashindwa kulipa hela ya maana kwa ajili ya video, matokeo yake anatoa shilingi laki tatu? unadhani tutaweza kushindana na video kama za kina Ay za million 30?. nimeuza mpaka balackberry yangu kuongeza kwenye pesa za kukamilisha video yangu, wakati hata nilivyokua ha hustle mwenyewe sikuwahi kuuza sim yangu. so nimejiondoa maana sioni faida yoyote, na mimi mziki kwangu ni kazi nataka nifike mbele zaidi. aliongea Suma
MISS TANZANIA 2000 ATEGEMEA MTOTO SIKU KADHAA SIJAZO
msanii na ni miss tanzania mwaka 2000 yuko karibuni kuitwa mama ambae jina lake kamili nii JACQUELINE NTUYABALIWE anategemea kupata mtoto mungu amjalie salama ajifungue bila matatizo.
MAMBO YALIENDELEA KAMA HIVI NDANI YA FIESTA MOSHI
recho akitumbuiza
FA ndani ya nyumba
ray the greatest bro akionyesha manjonjo pamoja na ma queen wa bongo movie
DJ zero akisongesha ngoma
watu walifurika sio mchezo big up sana fanz
raythe greatest pamoja na nyerere
haya sasa wema jiachie mdada na nyerere
FA ndani ya nyumba
ray the greatest bro akionyesha manjonjo pamoja na ma queen wa bongo movie
DJ zero akisongesha ngoma
watu walifurika sio mchezo big up sana fanz
raythe greatest pamoja na nyerere
haya sasa wema jiachie mdada na nyerere
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA LAZINDULIWA MKOANI KILIMANJARO
Usiku wa Ijumaa utabaki kukumbukwa kwa
wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro kutokana na uzinduzi wa aina yake wa
tamasha la 11 la Serengeti Fiesta lillilofana mkoani hapa.
Tanzania Daima ambayo ilikuwepo
katika eneo la tukio hilo ilishuhudia mamia ya vijana wakiwa wamejitokea
kwa wingi katika uzinduzi huo wa aina yake.
Aidha
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama aliwahamasisha mamia ya
mashabiki na wadau mbalimbali waliofika katika uzinduzi huouliofanyika
katika Viwanja vya Chuo Cha Ushirika kushrehekea kwa amani na utulivu
pamoja na kutosahau kujitokeza katika zoezi la sensa.
Baaadhi ya wasanii waliofunika
katika uzinduzi huo ni Shetta , Richie Mavoco, Makomando, Linah, Joh
Makini, Mwana Fa bila ya kumsaha mwanamuziki wa kimataifa ambaye pia
alikuwa mshindi wa pili katika shindano la Big Brother 2012 Prezzo
kutoka nchini kenya.
Wakati huohuo uzinduzi huo
ulinogeshwa nawasanii wa nyota wa filamu nchini ambao ni Aunt Ezekiel,
Ray Kigosi ‘Ray’, Mwenyekiti wa Bongo Movie Jacob Steven ‘JB’, Steve
Nyerere na Wema Sepetu ambao walikuwepo katika uzinduzi wakiwa ambapo
walikuwa katika msafara huo kwa minajili ya kusaka vipaji vya kucheza
filamu kwa wakaazi wa mkoani hapa.Wasanii hao ambao walitambulishwa
jukwaani
Pia waliweza kuonesha namna
wanavyoweza kunengua mbali ya kucheza filamu huku mashabiki wakimpigia
kelele Wema atingishe nyonga zake mara kadhaa nay eye alifanya hivyo na
kushangiliwa ipasavyo.
Tamasha hilo limeandaliwa na
Kampuni ya Prime Time Promotions ambayo ni Kampuni dada na Clouds Media
Group yenye maskani yake jijini Dar es Salaam.
Wasanii wengine walio onesha
uwezo wao katika uzinduzi huo ni pamoja na Juma Kassim ‘Nature’, Ferooz,
Stamina, Tash &Juru, Mr. Nice, Recho, Jambo Squard, Rich Mavocal,
Ommy Dimpoz, Godzilla na Bob Junior. Jumapili usiku Agosti 26 tamasha
hili litarindima ndani ya uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga.
Bongo Movie washine kwenye Fiesta Moshi......
ndani nya pozi aunt& wema sepeu ndani ya fiesta ya jijini moshi
Wema akiwa kwenye Interview......
Wema,Steve Nyerere kati na pembeni ni Aunt Ezekiel
Aunt,Ray,Wema,Hartman na Steven Nyerere......
mpango mzima wa kuchat tena kitu cha BBM bwana
Subscribe to:
Posts (Atom)