Mwanamama mkali wa maswali mazito na ya ndani Oprah winfrey amefanya maojiano na rihanna aliyemfuata kwao barbados.rihanna aliulizwa kuhusu kupigwa na chriss brown alikuwa kama ametoneshwa kidonda vile alitokwa na machozi nakusema kusema"IT WAS EMBARRASSING,IT WAS HUMILIATING, I LOST MY BEST FRIEND
Oprah na rihanna kwa gari