CHOZI LA RIHANNA LADONDOKA KWENYE MAHOJIANO NA OPRAH KISA CHRISS BROWN

  Rihanna akiwa na mgeni wake oprah winfrey
 Mwanamama mkali wa maswali mazito na ya ndani Oprah winfrey amefanya maojiano na rihanna aliyemfuata kwao barbados.rihanna aliulizwa kuhusu kupigwa na chriss brown alikuwa kama ametoneshwa kidonda vile alitokwa na machozi nakusema kusema"IT WAS EMBARRASSING,IT WAS HUMILIATING, I LOST MY BEST FRIEND

Oprah na rihanna kwa gari
oprah akiingia kwa rihanna nyumbani kwao barbados.