hapo tunda man akiwa katika pozi mbali mbali katika kustoot video ya DEMU SIO ili kuwalizisha fans wake na waipende zaidi video yake kwa nin bila nyie asinge fika apa alipo
FUNS WANGU WANGU WANALALA MIKA VIDEO YANGU SASA NASHOOT UPYA TUNDA MAN....!!!!!!!!!
tunda man amesema kwamba anataka afanye kitu fans wake mlizike ame amua kurudia upya video yake ya DEMU SIO ambayo ili tengenezwa na adamu juma wa visual lab... kwa sasa ame amua kushuti upya na kampuni inayo usika nautengenezaji wa video mbali mbali sinyingne bali ni APEX chini ya usimamizi wa dir pablo.
hapo tunda man akiwa katika pozi mbali mbali katika kustoot video ya DEMU SIO ili kuwalizisha fans wake na waipende zaidi video yake kwa nin bila nyie asinge fika apa alipo
na AM RECORD ili kuwa iko pamoja na bwana tunda ku mpa sapoti ndani ya hyo video yake mpya
hapo tunda man akiwa katika pozi mbali mbali katika kustoot video ya DEMU SIO ili kuwalizisha fans wake na waipende zaidi video yake kwa nin bila nyie asinge fika apa alipo