Msanii aliezuiliwa kufanya show, kupiga intaview, wala
kolabo ili kupisha muda wa kuanda ngoma ambazo yuko mbioni kuingia both beat
produced by c.e.o wa chofacho rec studio iliyoko marekani ambae ndio
inamsimamia msanii huyo kwa sasa imeamua kufungua website kwa ajili ya kuweka
mambo yanayohusu mziki, maisha na harkati anazozifanya mbali na mziki, ukitaka
kutembelea website ya msanii huyo tembelea
www.baghdad 255.wordpress.com