warimbwende hao wa pande za ilala
tarehe 30 august 2012 siku ya alhamisi , kutakuwa na mashindano ya vipaji kabla ku mpata
malkia ambae nata vikwa taji la mlimbwendae wa ilala
maelezo zaidi tuta yapata kadri siku zinozo endelea kabla ya kupata malkia ambae ata vikwa taji hilo la ilala wote mna karibishwa siku hyo...!!!