PICHA 3 ZA AJALI YA NDEGE YA TANAPA ILIYOTOKEA JANA MPANDA TANZANIA....




 Ndege ya shirika la hifadhi la taifa (TANAPA) aina ya C182 ikiwa imeanguka katika eneo la nsemulwa mjini Mpanda muda mfupi baada ya kuondoka katika uwanja wa ndege wa Mpanda ikiwa inaendeshwa na rubani Adam kajwa alieumia sehemu ya uso.

PICTURE OF THE DAY

nawashkuru sana wadau wangu ambao mme tembelea katika blog yangu ya darls babie na ambao mnaendelea kupata habari mbali mbali katika hii blog yangu sina cha kuwalipa zaidi ya kuwambia asanteni sana kwani bila nyie siwezi ku mimi wadau wangu naomba muendele na moyo mlo kua nao na hivi karibuni tegemeni mzigo mpya kwani kutakua na kipindi cha SWAGZ IN DAR NA RADHA ZA KITAA mtakua na mie darls babie pamoja na wengine kibao kaa mkao wa kula mna karibishwa wote asanteni sana........!!!!!!

darlsloSuma Lee & Linex - Boda boda (Official Video)

KILICHO SABABISHA AJARI YA DIAMOND KUTOKEA

AKIONGEA BWANA NASEEB ABDUL NA DARLS  BABIE NA KUNIPA USIBITISHO ZAIDI     

DIAMOND AKIONGEA......Tarehe 10 ya mwezi wa 11 siku ya juma mosi ni moja ya siku ambazo sitozisahau maishani mwangu.
Baada ya kumaliza majukumu yangu ya kila siku, nilikwenda masaki kumwona mmoja wa jamaa zangu wa karibu nikiwa na Blogger wangu Bestizzo pamoja na mwanafamilkia ya wasafi Dumi(Dancer) Mishale ya saa moja hivi nikiwa maeneo ya masaki karibu na kona ya msasani nilipata ajali ambayo haikuwa kubwa sana ingawa imesababisha uharibifu kwa kiasi kikubwa, Kama mjuavyo barabara ya msasani ni ndogo na gari huwa haziko katika mwendo wa kasi... ghafla dereva wa pikipiki alikatisha mbele yangu na katika kujaribu kumkwepa nikagonga gari ndogo aina ya Rav 4 ambapo ilisababisha dereva wa pikipiki kuanguka katikati ya gari zote mbili. Hiyo ndio hali halisi ya ajali niliyokutana nayo jumamosi iliyopita.

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutunusuru wote bila majeraha makubwa zaidi ya maumivu tu ya hapa na pale.

Hii ni pikipiki ambayo ni chanzo cha ajali.....

NYANGUMI AFNYA UHARIBIFU WA BOTI NA PIA KUJERUHI WATU

Watu watatu wamejeruhiwa baada ya Nyangumi kuibuka ghafla na kurukia boti waliyokua wakisafiria huko Eastern Cape Afrika Kusini.
Boti ilikua inakwenda polepole ghafla Nyangumi akajitokeza toka chini ya maji na kurukia hiyo boti, waliojeruhiwa ambao baadae kidogo waliokolewa na kikosi cha uokoaji ni mzee wa miaka 41 na abiria wengine wenye umri wa miaka 25 na mwingine 35.

RIHHANA KUFANYA NGOMA NA CHRIS BROWN ITAYO KUWA HEWANI IVI KARIBUNUI KAATAYARI..

 

SHEHE SORANGA AJERUHIWA KWA KUMWAGIWA TINDIKALI.. ZANZIBAR


Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari ya Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Wananchi mbalimbali wakishuhudia Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akiwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe. Picha, Maelezo

DOGO ASLAY AINGIA KWENYE TUZO ZA KORA

Msanii mdogo anayekimbiza wenzake wadogo wanaokuja hapa Bongo (Aslay), ametajwa kama msanii mpya katika tuzo za Kora mwaka huu (Best Male Newcomer). Wimbo uliompeleka katika tuzo hizo unaitwa NIWE NAWE, Aslay anapambana na wasanii kutoka nchi nyingine kama Uganda, Burkina Faso, Zambia, Nigeria na Afrique Du Sud. Mbali na Dogo Aslay tunao wasanii wengine wakubwa kutoka Tanzania hapa kama Lady Jay Dee, Saida Karoli na Ali Kiba...

CHEK OUT UNYAMA WA DULLY AKITILILIKA KWA HISIA ZOTE NDANI YA STUDIO

NI NDANI YA USIKU WA MISS TANZANIA














top 5






HAPPY BIRTHDAY RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR.JAKAYA MRISHO KIKWETE

Jakaya Kikwete
Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
leo ametimiza umri wa miaka 62. Tunamtakia maisha mema rais wetu.NA marefu tena yenye manufaa

HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA NDANI YA BIRTHDAY YA DIAMOND PLATNUM



















Joff mnyama pia ndani
Hapa babtale na Naj wakiteta jambo

Team sheta pia Ndani....



..





























DOZEN & SHETTA

.
                                             abali kamili tembelea katika blog ya this is diamond