INASEMEKANA DAVID BECKHAM NDIO MWANAUME ANAEPENDEZA KWENYE VAZI LA SUTI,DUNIANI







Huu ni mtazamo wa watu huko Uingereza kuwa hawajawahi kuona mwanaume anaependeza ndani ya vazi la suti kama Beckham.Haya wanaume hapa bongo nani anapendeza akivaa suti?ngoja nifikirie halafu ntakuja kuwaambia.Ila najua kuna wanaume ambao si maarufu na wanapendeza mbaya wakivaa vazi la suti.